Majina ya Wanafunzi wa Kidato cha Sita Waliochaguliwa Kujiunga na JKT 2017
TAARIFA KWA UMMA
Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), limechagua vijana waliohitimu Elimu ya Sekondari Kidato cha Sita kwa mwaka 2017, kutoka Shule zote za Tanzania Bara kuhudhuria mafunzo ya JKT kwa Mujibu wa Sheria.
No comments:
Post a Comment