Thursday, May 14, 2015

H-BABA AFUNGUKA KUHUSU KUMWEKA BLEACH KICHWANI MWANAE TANZANITE

Mtoto Tanzanite (kushoto) na mama yake, Flora Mvungi (kulia).
H.Baba na mwanae Tanzanite
H-baba akiwa na mwanae Tanzanite.
 Msanii wa bongo Fleva, H-Baba amewafungukia mashabiki wake waliomjia juu baada ya kumuweka dawa ya kubadilisha rangi nywele 'bleach' mtoto wake,Tanzanite mwenye umri wa mwaka mmoja.

Mashabiki hao ambao kupitia mitandao mbalimbali ya jamii walimwambia msanii huyo kuwa bleach siyo nzuri kiafya kwa mtoto hivyo amekosea sana kufanya hivyo.

Akijibu lawama hizo, H-Baba amesema kuwa lazima mwanaye aishi kisanii kama wazazi wake na kwamba yeye kama mzazi hawezi kumuharibu mtoto wake.

'Watu wanashindwa kuelewa, Tanzanite ni mtoto wa wasanii baba na mama na pia sijampaka mwanangu bleach, hiyo ni hina.  Hina pia ni suna kwa dini yetu ya Kiislamu hivyo sioni tatizo hapo,'amesema H-Baba.
Chanzo: vitukovyamtaa.blogspot.com

LULU AKIRI NA KUTOA SABABU ZA KUPENDA KUTOKA NA WANAUME WANAOMZIDI UMRI

Lulu Akili na Kutoa Sababu ya Kupenda Kutoka na Wanaume Waliomzidi Umri
Msanii, Elizabeth Michael (Lulu).
Staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth ‘Lulu’ Michael amekiri kupenda kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanaume waliomzidi sana umri.

Akizungumza kwenye The Sporah Show, Lulu amezitaja sababu za kupendelea kutoka na wanaume waliomzidi umri.

SPORAH: Watu wanahisi kwamba Lulu anapenda sana kutembea na watu waliomzidi umri sana,

LULU: That’s true, sio uongo, sio sana, Napenda kudate mtu ambaye anayeweza kusimama kama mpenzi, kama kaka, kama baba, kama kiongozi. Sitakuwa tayari kuwa na ile relation leo tumeamka na Maisha Club, kesho tumeamka na Billicanas, kesho tumeamka pale tunakula chips, I need to gain from you, nje ya upenzi unanifundisha nini kwa sababu haimaanishi kwamba mi ntaishi na wewe milele, itafikia siku labda we utaondoka au mi ntaondoka, we ukiondoka mi nikibaki nimejifunza nini kutoka kwako na ntaendelea kuishi vipi.”

“Haimaanishi kwamba napenda kutembea na watu walionizidi umri labda miaka hamsini, napenda kuwa na mtu ambaye angalau ananizidi umri, ana uzoefu zaidi yangu, amepitia vitu vingi, anajua vitu vingi kwamba i’ll be there as a girlfriend lakini nakuwa naiba iba kidogo […] na vitu vingine vya kitoto kitoto vingi vinakuwa hamna.” amesema Lulu.

Chanzo: bongomovies.com

BOBBI KRISTINA BROWN: CISSY BROWN BLAMES BOBBY BROWN FOR DAUGHTER WHITNEY HOUSTON'S DEATH?

Cissy Houston with daughter, the late Whitney Houston.

As Bobbi Kristina Brown remains unresponsive in hospital, Cissy Houston has opened up about her granddaughter's tragic condition and recalled the heartbreak of losing her daughter Whitney Houston in similar circumstances.

In an interview with Entertainment Tonight, the Houston matriarch said that the late singer, who was found unresponsive in a bath at a Beverley Hills hotel on 11 February 2012, was her pride and joy.

"She's my baby," Houston said. "I had two boys before her and I never wanted boys. I love them. They know I love them. But I always wanted a daughter."

Houston also claimed that it was unfortunate that her daughter lost her way in the entertainment industry and married Bobby Brown.

"This business is really bad, you know what I'm saying?" she said. "But she did the best she could."

The 81-year-old, who is reportedly embroiled in an ongoing feud with Brown over Bobbi Kristina's condition, went on to suggest that Houston would have had a better chance with the right partner.

"My baby tried. She did. She just had the wrong partner, you know?" Houston said of Brown. "Whitney was a very soft and easy person. ... She was kind. She was free-hearted. All of that, and sometimes people didn't treat her nice."

Bobbi Kristina has been in hospital since 31 January after she was found unconscious in a bathtub at her home in Roswell, Georgia.

In April, Brown stunned fans when he claimed that Bobbi Kristina was "awake", telling the crowd at concert in Texas: "I can say today: Bobbi is awake. She's watching me."

But in a statement released to People Magazine, Houston shattered any hope of a full recovery by revealing that doctors said she had "irreversible brain damage".

A judge has since appointed Brown and Whitney's sister-in-law Pat Houston co-guardians of Bobbi Kristina's estate.

"Both Mr Brown and Ms Houston are jointly responsible for decisions related to Krissi's care and medical needs," their respective lawyers said in a statement. "Both parties are delighted with the court's decision and are working harmoniously to ensure Krissi receives the best possible medical care."

The move, which means that the pair have joint control over her $20m (£12.7m) inheritance, followed an alleged dispute between Houston and Brown over the 22-year-old's estate.

According to Radar Online, a family source said: "Cissy Houston will fight this to the grave. Since day one, all of the Houstons have been waiting for Bobby to try and get Bobbi Kristina's money and they knew it was just a matter of time. No one is surprised that he is making a grab for her money."

Source: www.ibtimes.co.uk

MASHABIKI WACHUKIZWA NA PICHA ZA WAZI ZA AUNT EZEKIEL

Mashabiki Wachukizwa na Picha Hizi za Aunt Ezekiel
Hizi ndio picha za Aunt Ezekiel zilizowachukiwa mashabiki wake (juu na chini).
 
Staa wa bongo movies, Aunt Ezekiel amepondwa na baadhi ya mashabiki wake kwa kupiga picha hizi akionyesha tumbo lake ukizingatia yeye ni mjamzito.

Picha hizi zimekuwa zikisambaa kwenye mitandao ya kijamii na wengi wameonesha kuchukizwa na tabia iliyozuka ya mastaa wa Bongo kufanya hivi kwa kuwaiga mastaa wa nchi za ughaibuni.

Wakati huo huo leo kupitia kipindi cha Amplifaya kinachorushwa na redio ya Clouds chini ya mtangazaji Millard Ayo, Mosse Iyobo ambaye ni mcheza shoo wa mwanamuziki maarufu nchini, Diamond, ameweka hadharani kuwa yeye ndiye mwenye ujauzito wa muigizaji huyo na kwamba ameshamtambulisha kwao.

Aunty 1
Mosse Iyobo