Thursday, April 19, 2018

RAIS MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA WATU 10

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli jana Aprili 18, 2018 ameteuwa watu kumi kushika nafasi mbalimbali akiwepo Prof. Idris Suleiman Kikula kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Madini.

Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi imeeleza kuwa uteuzi wa Prof. Kikula umeanza April 17, 2018.

No comments: