Friday, May 22, 2015

AUNTY EZEKIEL AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE

aunt
Aunty Ezekiel.
Jana ilikuwa siku ya furaha kwa familia ya wasanii wawili Aunt Ezekiel ambaye ni m'bongo movie na dansa wa Diamond aitwaye Mose Iyobo baada ya kujaaliwa kupata mtoto wa kike.

Mtoto huyo amepewa jina la Cookie na Aunty alionesha furaha yake kwa kuandikwa kwenye ukurasa wa instagram ujumbe wa kumshukuru Mungu kwa kumfanikisha kujifungua salama.
antiiiii
Ujumbe wake uliendelea…
 
wajizaniao wao ni miungu watu Bac endelea kunyoosha mkono wako ktk paji la kiumbe wako ukiwa kama kinga nami niwe kivuli tuu juu yake Amen Whn Jesus Say Yes Nobody can Say wht!!!!!!!Wlcm Baby Cookie wlcm 2 da world KIBOKO YANG…
iyobo
Aunty Ezekiel akiwa na baba Mose Iyobo ambaye ndiye baba wa mtoto wake.
 Wakati huo huo, Diamond ambaye ni bosi wa baba wa mtoto Cookie, amewapongeza wazazi hao kwa kuandika hivi katika ukurasa wake wa instagram:
diamond 

No comments: