Thursday, December 22, 2011

MVUA ZAVUNJA REKODI YA MWAKA 1954

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA), Dk. Agnes Kijazi, amesema kuwa mvua zilizonyesha leo zimevunja rekodi ya mwaka 1954. 

Dk. Kijazi ameyasema hayo leo alipoongea na waandishi wa habari ofisini kwake Ubungo na kuongeza kuwa hali hii ya mvua itaendelea kwa siku mbili zaidi hivyo amewaasa wananchi kuwa makini.  Kwa habari zaidi angalia picha zifuatazo:


Hili ni eneo la Kigogo linavyoonekana leo.

Na hili ni eneo la Jangwani linavyoonekana leo.

Kazi ya uokoaji ikifanyika kwa kutumia mtumbwi katika eneo la Jangwani.

Wasamaria wema wakiokoa watoto katika mafuriko.

Watoto na akina mama wakisubiri mtumbwi uje uwaokoe, katika eneo la Jangwani.

Kwa picha zaidi tembelea http://www.issamichuzi.blogspot.com/

No comments: