Friday, December 16, 2011

MISS VODACOM TANZANIA AKABIDHIWA

Vodacom Miss Tanzania 2011/2012, Salha Israel, akikabidhiwa funguo ya gari aina
ya Jeep Patriot na Meneja Matukio na Udhamini wa Vodacom Tz, Rukia Mtingwa.
Wakishuhudia tukio hilo, kulia ni Hashim Lundenga mratibu wa shindano na Alfred Minja,
Meneja masoko wa kampuni ya CFAO Motors ambao ni wadhamini wenza.


Vodacom Miss Tanzania 2011/2012, Salha Israel, akifungua gari lake mara baada ya
kukabidhiwa funguo za gari hilo.  Kushoto ni Hashim Lundenga akishuhudia tukio hilo.

Kwa picha zaidi za matukio, angalia
http://www.issamichuzi.blogspot.com/

No comments: