Monday, October 23, 2017

MAGUFULI KUWATUNUKU VYETI WALIOFANIKISHA UCHUNGUZI WA MAKINIKIA LEO

IKULU: Rais Magufuli leo anatarajia kuwatunuku vyeti wote waliofanikisha uchunguzi wa makinikia na kufikiwa makubaliano kati ya serikali na Kampuni ya Madini ya Barrick Gold Corporation.

No comments: