Wednesday, October 3, 2012

RIHANNA NA VIATU VYA NGOZI YA ANACONDA

Mwanamuziki Rihanna akiwa anashuka kwenye gari huku akiwa amevalia viatu vilivyotengenezwa na ngozi ya nyoka aina ya Anaconda anayepatikana katika misitu ya Amazon iliyopo America Kusini.



Viatu hivi vinasemekana kugharimu takribani shilingi milioni 3 za kitanzania.

No comments: