
Kampuni ya Maxcom Africa PLC imeeleza kuwa, imefungua kesi ya madai katika Mahakama Kuu ya Tanzania dhidi ya Kampuni ya UDA-RT inayotoa huduma ya usafiri wa Mabasi ya Mwendokasi, kutokana na kampuni hiyo kushindwa kulipa gharama za uendeshaji, uwekezaji na stahiki za wafanyakazi.



No comments:
Post a Comment