Tarehe 21 Desemba 2017 wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Umeme nchini (TANESCO) wamewahakikishia wakazi wa mikoa ya Lindi na Mtwara tatizo la kukatika kwa umeme litabaki kuwa historia kutokana kupata ufadhili wa serikali ya Japan kupitia shirika la JICA.
JICA wameahidi kujenga mtambo ya kufua umeme megawatt mia tatu na utaingizwa katika gridi ya taifa hali ambayo itasaidia kuondoa kabisa tatizo umeme katika mikoa hiyo iliyoko kusini mwa nchi.
JICA wameahidi kujenga mtambo ya kufua umeme megawatt mia tatu na utaingizwa katika gridi ya taifa hali ambayo itasaidia kuondoa kabisa tatizo umeme katika mikoa hiyo iliyoko kusini mwa nchi.
No comments:
Post a Comment