Thursday, October 11, 2012

JANETH JACKSON KUOLEWA 2013

Mwanamuziki Janeth Jackson (46) wa Marekani anatarajia kuolewa mwaka 2013 na tajiri wa kiarabu ajulikanaye kwa jina la Wissam Al Mana ambaye inasemekana kuwa alianza uhusiano nae wa kimapenzi mwaka 2010.

Mwanamuziku huyo anatarajiwa kubadilisha dini na kuwa muislam wakati wowote kabla ya ndoa yao.

Pichani, Janeth akiwa na vazi la baibui na mtandio, vazi ambalo ni maarufu sana kwa
wanawake wa kiislamu. 

 Janeth Jackson akiwa mitaani na vazi la kiislamu.